• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
  • Administration
    • Regional Secretariat Structure
    • Sections
      • Administration & HR
        • Local Government
      • Planning & Coordination
      • Economic & Production
      • Infrastructure
      • Education
      • Water
      • Health
    • Units
      • Finance & Accounts
      • Internal Auditor
      • Procurement & Supply
      • ICT
      • Legal
  • Districts
    • Njombe
    • Wanging'ombe
    • Makete
    • Ludewa
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Makambako TC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
  • Investment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Mining
    • Industries and Trade
    • Tourism
  • Services
  • Publications
    • Sheria
    • Guidelines
    • Procedures
    • Application Forms
    • Integrity Pledges Form
    • Nyaraka
  • Media Center
    • Press Release
    • Picture Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

ICT

KITENGO CHA TEHAMA

Kitengo Cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

Kitengo Cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kina lengo la kutoa huduma za kitaalamu juu ya matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa Sekretarieti ya Mkoa, Aidha Kitengo hiki kinaongozwa na Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta Mkuu ambaye anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa.



Majukumu ya Idara/Seksheni

Majukumu ya Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

 

  • Kutayarisha mpango Mkakati wa kuhusu teknolojia ya habari na mawasiliano, Miongozo na taratibu kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
  • Kuishauri Menejimenti ya Sekretarieti ya Mkoa juu ya masuala yanayohusiana na sera zinazohusiana na teknolojia ya habari na mawasiliano na utekelezaji wa dhana ya serikali mtandao.
  • Kuishauri Menejimenti ya Sekretarieti ya Mkoa juu ya masuala yanayohusiana na sera, miongozo na taratibu zinazohusiana na takwimu.
  • Kusimamia maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano na utekelezaji wake kwa ajili ya Sekretarieti ya Mkoa.
  • Kushirikiana na OWM-TAMISEMI kuratibu na kuendeleza viwango vya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa ajili ya “software na hardware” kwa matumizi ya Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
  •  Kuziwezesha Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kuendeleza na kutekeleza  mipango/miradi ya teknolojia ya habari na mawasiliano.
  • Kuratibu utekelezaji wa usanifu na kutunza/kuiendeleza matumizi yanayohusiana na Tovuti na utunzaji wa kumbukumbu kwa ajili ya Sekretarieti ya Mkoa.
  •   wizarani, Idara, wakala na wadau wengine.
  • Kutoa na kuratibu msaada wa teknolojia ya habari kwa Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
  • Kutathimini, kuboresha na kusimamia teknolojia ya habari na mawasiliano na usimamizi wa mifumo ya taarifa/habari iliyosimikwa/iliyowekwa kwenye Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
  • Kufanya tathimini ya mahitaji ya mafunzo juu ya usimamizi wa mifumo ya taarifa na teknolojia ya habari na mawasiliano na kuandaa mpango wa kujenga uwezo
  • Kufanya tathimini ya hatari/hasara zinazohusiana na miundombinu ya teknolojia ya habari na mawasiliano na mfumo wa usimamizi wa taarifa na namna ya kuthibiti.
  •   Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
  • Kuendeleza na kutunza Tovuti ya Mkoa.
  • Kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano kwenye kushughulikia takwimu na taarifa
  •   taarifa, kutunza, kuzipitisha hatua mbalimbali, kuzichambua, kuziwasilisha, kuzisambaza na kuzihifadhi.
  • Kushirikiana na Tume ya Taifa ya Takwimu juu ya masuala yote yanayohusu Mfumo wa Taifa wa Takwimu.
  • Kuandaa masuala yote yanayohusiana na takwimu kwenye Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Announcements

  • SADC YAMWAGA AJIRA ZA KUTOSHA KWENYE FANI MBALIMBALI May 25, 2008
  • AUSTRALIA AWARDS SCHOLARSHIPS (MASTER’S DEGREE AND SHORT COURSES) FOR 2019/2020. September 24, 2018
  • WIZARA YA FEDHA YAMIMINA AJIRA MEI 2018 May 17, 2018
  • View All

Latest News

  • Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Nchini Jumaa Aweso ametangaza kiama kwa watakaobainika kula fedha za mradi wa maji .

    October 06, 2018
  • WIZARA YA ELIMU YAVUNJA MKATABA NA MKANDARASI HERKIN BUILDERS LTD.

    October 06, 2018
  • ATOA HUDUMA ZA AFYA WATAKIWA KUTOWASAHAU WATOTO KATIKA KUWAKINGA NA MAAMBUKIZI YA VVU

    October 06, 2018
  • Meli ya MV Nyerere yazama Ziwa Victoria.

    September 21, 2018
  • View All

Video

OLE SENDEKA AWASHA MOTO
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Njombe Nearby Ruhuji River

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 0262782012/13

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.