• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

Forestry

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MISITU KATIKA MKOA WA NJOMBE

Mkoa una fursa nyingi za uwekezaji katika sekta ya misitu hususan katika viwanda vya uchakataji na uongezaji wa dhamani wa mazao ya misitu. Kutokana na uwepo mkubwa wa malighafi za misitu, miundombinu mizuri (barabara na mawasiliano), maeneo ya kutosha ya uwekezaji, umeme wa uhakika na nguvu kazi ya uhakika (Labourers) katika Wilaya zote za Mkoa, zipo fursa za kuwekeza katika viwanda vya utengenezaji wa samani mbalimbali (Furnitures, Plywoods, veneer etc), nguzo za kwa matumizi mbalimbali.Uwekezaji katika uzalishaji wa mkaa utokanao na mabaki mbalimbali yatokanayo na shughuli za uzaliashaji wa mazao ya miti mfano, vumbi la mbao (saw dusts) unaweza kufanyika pia.

SEKTA YA UFUGAJI NYUKI

Mkoa una fursa nyingi za kuweza kuwekeza katika shughuli za ufugaji nyuki zikiwemo:-

Uwepo wa maeneo makubwa yaliyo na misitu ya asili na kupandwa inayoruhusu shughuli za ufugaji nyuki hali itakayowezesha kupata asali na mazao ya nyuki kutoka katika uoto mbalimbali mfano miombo, misitu ya lindimaji, miti ya matunda kama parachichi, matofaa, topito, fyulisi nk.

Uwepo wa mashamba ya mazao mbalimbali ya kilimo yanayoruhusu shughuli za ufugaji nyuki kama vile alizeti,viazi, maboga, mbogamboga nk.

Uwepo wa hali ya hewa inayoruhusu shughuli za ufugaji nyuki.

Uwepo wa miundombinu (barabara nyingi ambazo zinapitika misimu yote kutoka wilayani hadi mkoani)

Uwepo wa nishati ya umeme katika kila Makao Makuu ya Wilaya na idadi kubwa ya vijiji kupitia program ya REA III.

Uwepo wa wataalamu ngazi ya Halmashuri na Mkoa

Uwepo wa sera, sheria na kanuni zinazoruhusu shughuli za ufugaji nyuki katika Mkoa.

Uwepo wa Wataalamu wa kutengeneza zana za kuendeshea shughuli za ufugaji nyuki kama vile mizinga na mavazi ya kujikinga.

Uwepo wa makundi mengi ya nyuki sehemu mbalimbali katika Mkoa.

Kusoma zaidi bofya hapa Taarifa ya Misitu Mkoa wa Njombe.pdf

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.